BUHARI KUGOMBEA TENA URAISI MWAKA 2019


NIGERIA: Rais  Muhammadu Buhari(75) amesema atagombea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Urais wa Mwaka 2019.

Mwanzoni mwa mwaka huu Rais Mstaafu Jenerali Olusegun Obasanjo alimshauri Rais huyo kutogombea muhula wa pili.

Buhari aliingia madarakani tarehe 29 Mei, 2015. https://t.co/2JX6YRUBdU

Comments

Popular posts from this blog

Club ya Tottenham Hotspur ya nchini uingereza kuongeza idadi ya viti vya mashabiki kufikia 62,000 katika uwanja wao mpya.