JE! Arsenal itafanikiwa kuwa bora kwa forward line hii
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Kuongezeka kwa kiungo mshambuliaji henrick mickhtaryan pamoja na ujio wa Pierre aymeric Aubameyan, kunatarajiwa kuongeza ushindani dhidi ya timu pinzani katika soka la nchini uingereza (epl).
Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA, leo umepanga kumuapisha kiongozi wao Raila Odinga kuwa rais, hali ya wasiwasi imetanda kufuatia msimamo huo wa NASA.. Serikali imeonya kuwa hatua ya kuapishwa kwa Bw Odinga ni uhaini wa kiwango cha juu.
NIGERIA: Rais Muhammadu Buhari(75) amesema atagombea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Urais wa Mwaka 2019. Mwanzoni mwa mwaka huu Rais Mstaafu Jenerali Olusegun Obasanjo alimshauri Rais huyo kutogombea muhula wa pili. Buhari aliingia madarakani tarehe 29 Mei, 2015. https://t.co/2JX6YRUBdU
Comments
Post a Comment