Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA kumuapisha Raila Odinga.

Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA, leo umepanga kumuapisha kiongozi wao Raila Odinga kuwa rais, hali ya wasiwasi imetanda kufuatia msimamo huo wa NASA..
Serikali imeonya kuwa hatua ya kuapishwa kwa Bw Odinga ni uhaini wa kiwango cha juu.


Comments

Popular posts from this blog

Club ya Tottenham Hotspur ya nchini uingereza kuongeza idadi ya viti vya mashabiki kufikia 62,000 katika uwanja wao mpya.