Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA kumuapisha Raila Odinga.

Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA, leo umepanga kumuapisha kiongozi wao Raila Odinga kuwa rais, hali ya wasiwasi imetanda kufuatia msimamo huo wa NASA..
Serikali imeonya kuwa hatua ya kuapishwa kwa Bw Odinga ni uhaini wa kiwango cha juu.


Comments

Popular posts from this blog

How Chelsea could line up this season: Alvaro Morata set to take leading role as Antonio Rudiger arrival pushes Cesar Azpilicueta to the wing