Skip to main content
Ubomoaji wa jengo la Makao Makuu ya TANESCO lililopo Ubungo, Dar es Salaam unatarajiwa kugharimu TZS 700 milioni, kutokana na uhitaji wa kutumia vifaa vya kisasa ili kutoathiri majengo ambayo hayatabomolewa.
BY:Swahili times twitter account.
Comments
Post a Comment