Martial wants reassurances regarding his playing time at Manchester United. Contract talks resumed recently & he is hopeful of making it work at United & is settled in Manchester. [mail]
Kuongezeka kwa kiungo mshambuliaji henrick mickhtaryan pamoja na ujio wa Pierre aymeric Aubameyan, kunatarajiwa kuongeza ushindani dhidi ya timu pinzani katika soka la nchini uingereza (epl).
The Club has applied to Haringey Council to increase the capacity at our new stadium up to 62,000. We shall provide an update on this application as soon as we have further information. Muonekano wakati ujenzi haujakamilika Muonekano wake utakapokamilika
Ubomoaji wa jengo la Makao Makuu ya TANESCO lililopo Ubungo, Dar es Salaam unatarajiwa kugharimu TZS 700 milioni, kutokana na uhitaji wa kutumia vifaa vya kisasa ili kutoathiri majengo ambayo hayatabomolewa. BY: Swahili times twitter account.
Comments
Post a Comment